Skip to main content
Skip to main content

Shirika la Nishati ya Nyukilia na Umeme NuPEA lapanga kujenga mradi Siaya

  • | Citizen TV
    213 views
    Duration: 1:38
    Shirika la Nishati ya Nyukilia na Umeme, NuPEA, limeanza mashauriano ya kina na Bunge la Kaunti ya Siaya, likiwa na mpango wa kuanzisha mradi wa umeme wa nyuklia ifikapo mwaka 2027.