Skip to main content
Skip to main content

Shughuli ya ubomoaji wa nyumba zinaendelea huko Makongeni

  • | Citizen TV
    4,105 views
    Duration: 2:59
    Shughuli ya ubomoaji katika mtaa wa Makongeni hapa Nairobi inaendelea huku wakazi wakiondoka shingo upande. Hata hivyo, baadhi ya wakazi wanalalamika kuwa bado hawajapata fidia ya laki moja unusu waliyokuwa wakipewa. Serikali inapania kuendesha mradi wa nyumba katika eneo hili la ardhi ya ekari 139, kama Gatete Njoroge anavyotuarifu