- 541 viewsDuration: 3:43Shule ya Msingi ya Oloompaluani Iliyoko Kajiado Magharibi imepata sura mpya baada ya Ujenzi wa madarasa, majlisi ya walimu, na miundombinu nyingine kukamilika. Shule hiyo ilikuwa imegonga vichwa vya habari mwaka wa 2024 kutokana na wanafunzi kusomea chini ya mti kutokana na ukosefu wa madarasa. Shule Hiyo ilikuwa na madarasa manne pekee ambayo pia yalitumiwa kama afisi ya walimu na hivyo kuwalazimu wanafunzi kukosa madarasa.