- 5,431 viewsDuration: 1:49Katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna amerejea tena mahakamani kuzuia kuondolewa kwake kama katibu mkuu wa chama hicho cha chungwa. Sifuna ameiambia mahakama kuwa hakupewa nafasi ya kujieleza na notisi iliyotumwa hivi majuzi ilimfikia wakati wa likizo ya Pasaka. Sasa anaiitaka mahakama kusitisha kikao hicho.