- 69 viewsSweden inatarajiwa kujiunga rasmi na NATO katika siku au wiki zijazo, baada ya Hungary hatimaye kutoa idhini yake siku ya Jumatatu – mwanachama wa mwisho kufanya hivyo. Kama anavyoripoti Henry Ridgwesll wa VOA, wachambuzi wanasema Sweden inaleta uwezo muhimu katika ushirika wa kujihami wa Magharibi. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Sweden yaanza mchakato rasmi wa kujiunga na NATO
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| NEWS NOW ››
- 27 Apr 2024 - Bumula Member of Parliament Jack Wamboka claims his life is in danger after he filed a notice of motion to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi over the fertilizer scandal in the country.
- 27 Apr 2024 - Heavy rainfall in Kirinyaga Central and its vicinity has resulted in severe flooding, leaving several villages isolated from Kutus town and nearby areas.
- 27 Apr 2024 - Donald Trump's lawyer sought on Friday to undermine the credibility of a former tabloid publisher who testified at the former president's criminal trial about his paper's efforts to bury news that could have damaged Trump's 2016 White House bid.
- 27 Apr 2024 - Many South Africans are feeling disillusioned and frustrated with the ANC.
- 27 Apr 2024 - The Anti-Counterfeit Authority (ACA) is in the process of implementing varied methods to fight trade in illicit goods
- 27 Apr 2024 - So far 70 people have lost their lives due to flooding and thousands others displaced from their homes
- 27 Apr 2024 - Flooding menace exposes Kenya's perpetual cycle of mismanagement
- 27 Apr 2024 - Rigging claims, delays in delivering poll materials mar grassroots elections
- 27 Apr 2024 - The employees were alleged to have contravened regulations in the export of unidentified cargo. The government has condemned the arrest accusing Congo of ‘acting in bad faith.
- 27 Apr 2024 - The depreciation of the shilling has posed a major challenge.