Skip to main content
Skip to main content

Swintofahamu yaghubika uteuzi wa Oku Kaunya kama msemaji wa jamii ya Teso

  • | KBC Video
    22 views
    Duration: 2:13
    Uteuzi wa Oku Kaunya kuwa msemaji wa jamii ya Teso unaendelea kuibua hisia mseto huku kundi jipya la wazee wa jamii sasa likidai alijitawaza. Wakiongozwa na Fredrick Adungo, wazee hao wamesema kuwa jamii ya Wateso tayari inatambua Mfalme wao wa kitamaduni, Paul Sande Emolot, kama msemaji halali wa jamii hiyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive