Skip to main content
Skip to main content

Taasisi za fedha zahimizwa kunufaisha jamii ya waislamu Garissa

  • | Citizen TV
    77 views
    Duration: 1:18
    Gavana wa Garissa Nathif Jama amehimiza taasisi za fedha katika kaunti hiyo kubuni huduma zinazoambatana na maadili ya dini ya kislamu ili kunufaisha asilimia kubwa ni waislamu.