- 662 viewsTakriban watu 10,000 wanadhaniwa wamepotea kufuatia mafuriko makubwa nchini Libya, afisa mmoja kutoka Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Jumuiya za Mwezi Mwekundu (IFRC) alisema Jumanne (Septemba 12). Kiasi cha robo ya mji wa mashariki mwa Libya wa Derna ulisombwa na mafuriko baada ya mabwawa kupasuka kutokana na dhoruba, na miili zaidi ya 1,000 imeopolewa hadi hivi sasa, waziri katika serikali hiyo inayodhibiti upande wa mashariki alisema Jumanne. “Idadi ya vifo ni kubwa na inaweza kufikia maelfu,” Tamer Ramadan, mkuu wa ujumbe wa IFRC nchini Libya, aliwaambia waandishi wa habari huko Geneva kupitia mtandao wa mawasiliano ya video kutoka Tunisia. Shirikisho hilo la IFRC linaweza kwa siku za karibuni kuomba ufadhili wa dharura kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko hayo nchini Libya. Reuters/UNTV #mafuriko #libya #derna #dhoruba #mabwawa #miili #waziri #serikali #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Takriban watu 10,000 wadhaniwa wamepotea kufuatia mafuriko makubwa Libya
- 8 Jul 2025 - President William Ruto has expressed Kenya's commitment to combat the escalating global climate crisis.
- 8 Jul 2025 - Seven suspects accused of leading the arson attack on Mawego Police Station in Homa Bay County during protests over the death of blogger Albert Ojwang have been arraigned before the Oyugis Law Courts.
- 8 Jul 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has approved terrorism charges against 37 individuals arraigned at the Kahawa Law Courts, including Peter Kinyanjui Wanjiru, alias Kawanjiru, and Serah Wanjiku Thiga.
- 8 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has said the government is enhancing partnerships with global technology companies to create more job opportunities for the youth.
- 8 Jul 2025 - The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
- 8 Jul 2025 - 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
- 8 Jul 2025 - The European nation announced plans to increase its diplomatic presence abroad to four more countries in 2023.
- 8 Jul 2025 - They accused the Ruto regime of maiming and killing Kenyans.
- 8 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Health, Aden Duale, has vowed to end the practice of bed-sharing among patients in public health facilities to promote quality healthcare across the country.
- 8 Jul 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi on Tuesday, July 8, 2025, held a closed-door meeting with Central Organisation of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli. The meeting, which took place at Mudavadi’s office, focused on key national…