Takriban watu 51 wafariki kutokana na mafuriko Uhispania
Wizara ya ulinzi na picha za polisi zimewaonyesha wafanyakazi wa huduma za dharura wakikagua nyumba zilizokumbwa na mafuriko na kuwaokoa watu kwenye mji wa Utiel.
Dazani za video zilizobandikwa kwenye mitandao ya kijamii usiku zimewaonyesha watu wakiwa wamekwama kwenye maji ya mafuriko, wengine walipanda kwenye miti kuepuka kusombwa na maji.
Carlos Mazon, mkuu wa mji wa Valencia aliwaambia waandishi wa habari baadhi ya watu bado wametengwa katika maeneo ambayo hayafikiki.
Hata hivyo huduma za dharura katika eneo hilo zimewasihi raia kuepuka safari za barabarani na kufuatilia taarifa nyingine kutoka vyanzo rasmi. - Reuters
13 Jul 2025
- Two of them have already been charged in court.
13 Jul 2025
- The governor accuses Malala of spreading defamatory statements.
13 Jul 2025
- Several politicians and businesspeople alike graced the high-profile event.
13 Jul 2025
- Liberia's president was "honoured" to meet US counterpart Donald Trump this week and wasn't offended by Trump's comment about his fluency in English -- his mother tongue -- Liberia's foreign minister said on Friday.
13 Jul 2025
- An Israeli-American businessman, a former State Department official and a decorated Green Beret pitched up in the Democratic Republic of Congo in March with a message for President Felix Tshisekedi from the Trump administration.
13 Jul 2025
- Nigeria on Saturday slapped 44 Boko Haram jihadists with jail terms of up to 30 years for funding terrorist activities, a spokesman for a counterterrorism agency said.
13 Jul 2025
- "The doctoral thesis took me 6 years with COVID in between,” he said.
13 Jul 2025
- Two of them have already been charged in court.
13 Jul 2025
- He said the government will not allow opposition to use youths to save their dwindling political careers.
13 Jul 2025
- They have said the current guidance, which allows headteachers to decide how smartphones are used, is unlawful
13 Jul 2025
- President William Ruto’s administration has come under sharp criticism from the Democratic Action Party of Kenya (DAP-K), as political temperatures begin to rise ahead of the 2027 general elections. In a scathing rebuke posted on its X account on Sunday…
13 Jul 2025
- Employer told not to present counter-proposal with no monetary benefits in new CBA.
13 Jul 2025
- Siaya County Governor James Orengo has led celebrations, praising Siaya school students for their stellar performances in the regional games. Taking to his X early Sunday morning, July 13, 2025, Orengo wrote, “Congratulations to Our Champions in the…