Takriban watu 51 wafariki kutokana na mafuriko Uhispania
Wizara ya ulinzi na picha za polisi zimewaonyesha wafanyakazi wa huduma za dharura wakikagua nyumba zilizokumbwa na mafuriko na kuwaokoa watu kwenye mji wa Utiel.
Dazani za video zilizobandikwa kwenye mitandao ya kijamii usiku zimewaonyesha watu wakiwa wamekwama kwenye maji ya mafuriko, wengine walipanda kwenye miti kuepuka kusombwa na maji.
Carlos Mazon, mkuu wa mji wa Valencia aliwaambia waandishi wa habari baadhi ya watu bado wametengwa katika maeneo ambayo hayafikiki.
Hata hivyo huduma za dharura katika eneo hilo zimewasihi raia kuepuka safari za barabarani na kufuatilia taarifa nyingine kutoka vyanzo rasmi. - Reuters
18 Jun 2025
- Investigations have since began to establish the main cause of the accident
17 Jun 2025
- Gachagua has torn into President Ruto for what he terms as a disregard for human life.
17 Jun 2025
- The mask vendor was unarmed and shot in full glare of the public.
18 Jun 2025
- Israel's strikes on Iran have targeted several of its nuclear facilities as it claims the country is seeking to develop nuclear weapons -- an accusation Tehran denies.
18 Jun 2025
- Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
18 Jun 2025
- Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
18 Jun 2025
- Investigations have since began to establish the main cause of the accident
18 Jun 2025
- The city mask vendor who was shot in Nairobi is currently undergoing surgery, with an intensive care unit (ICU) bed prepared for post-operative care.
18 Jun 2025
- Tina Knowles reveals how a matrilineal bloodline survived slavery, segregation and police brutality to create music royalty
18 Jun 2025
- One of the five arresting officers told the family he was accused of insulting a police boss on social media.
18 Jun 2025
- The shooting will plunge President William Ruto into a deeper public crisis amid outrage against his government.
18 Jun 2025
- Kenya Universities Staff Union claims its officials were unfairly targeted during last month's staff layoffs.
18 Jun 2025
- We are going to liberate this nation not with any weapon but through the power of the voice.