- 6,708 viewsDuration: 36sTazama namna Mwandishi alivyokimbia kujificha baada ya mlipuko wa droni kukatiza matangazo ya moja kwa moja huko Romania. Ukraine ilithibitisha kwamba moja ya droni zake za majini ililipuka nje ya pwani ya Romania siku ya Juni 5. Hakuna majeruhi walioripotiwa katika mlipuko huo. #bbcswahili #romania #ukraine Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw