- 378 viewsTimu mbalimbali za waokoaji zimeendelea kuitoa miili kutoka katika kifusi baada ya tetemeko la ardhi lililokuwa na nguvu ya 6.8 nchini Morocco kuangusha majumba na kuua watu zaidi ya 2,000. Timu za uokoaji katika mji wa Ouirgane, kilomita 60 kutoka Marrakech, walichimba katika matofali na zege ya majumba Jumatatu. Morocco imepeleka gari za kuchukua wagonjwa, waokoaji na wanajeshi katika mkoa huo kusaidia na juhudi za huduma za dharura. Makundi ya misaada yamesema kuwa serikali haijaomba msaada lakini imekubali kupokea misaada michache kutoka nje ya nchi. - AP #morocco #earthquake #MoroccoEarthquake - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Timu mbalimbali za waokoaji zaendelea kuitoa miili kutoka katika kifusi Morocco
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script