- 28,911 viewsDuration: 28:10Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kwamba makubaliano yaliyofikiwa na Iran si ya mwisho. Akizungumza katika mkutano wa kilele wa mataifa yenye uchumi mkubwa zaidi duniani wa G7 hii leo, Trump alisema kuwa Marekani "itarudi kurusha mabomu tena" ikiwa haitapendezwa na makubaliano ya mwisho. #trump #israel #iran #bbcswahili #bbcswahilileo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw