- 189 viewsDuration: 1:56Tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kaunti ya Makueni imeelezea wasiwasi wake kufuatia idadi ndogo ya watu waliojitokeza kusajiliwa kuwa wapiga kura na hususan eneo bunge la Mbooni huku zikiwa zimesalia siku tano kabla ya shughuli hiyo kufungwa.