Skip to main content
Skip to main content

Tume ya kitaifa ya usawa na jinsia yataka kaunti kujenga vituo vya salama kwa waathiriwa wa GBV

  • | Citizen TV
    282 views
    Duration: 1:53
    Tume ya Kitaifa ya Usawa wa Jinsia na Haki (NGEC) inataka serikali za kaunti kuanzisha nyumba salama kwa waathiriwa wa ukatili wa kijinsia (GBV). Makamu Mwenyekiti wa NGEC, Thomas Koyier, alieleza umuhimu wa vituo hivi katika kuwalinda na kuwasaidia waathiriwa kupona.