- 26,670 viewsDuration: 28:10Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan,ameunda tume ya kuchunguza matukio ya ghasia za baada ya uchaguzi mkuu wa terehe 29 oktoba nchini humo. Mohamed Chande Athman aliyekuwa jaji mkuu mstaafu ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa kuiongoza tume hiyo. Hata hivyo tume hiyo imekosolewa na chama cha upinzani cha ACT wazalendo kwa kile wanachokitaja kuhusishwa kwa maafisa wa serikali wanaofaa kuchunguzwa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw