19 Feb 2026 5:19 pm | K24 Video 1,045 views Duration: 1:31 “Tunajua wewe Uhuru Kenyatta umeanza kutoa pesa ulichukua kwa Wakenya, na sisi tunakwambia hiyo pesa yako hiyo unatoa kiholela, serikali itaenda kufunga hiyo pesa yako na wewe hakuna kitu utafanya.” – Farouk Kibet