- 615 viewsDuration: 2:33Chifu mmoja kaunti ya Elgeyo Marakwet pamoja na mkewe na washukiwa wengine wawili wanazuiliwa kwa tuhuma za kubakwa kwa mwanamke nyumbani kwa chifu huyo. Mwathiriwa wa tukio hili ambaye sasa anauguza majeraha baada ya kufanyiwa upasuaji wa sehemu zake za siri amedai kubakwa kwa njia za kikatili. Wakazi wa kijiji cha Kipsaos sasa wakitaka hatua wakilalamikia kudodora kwa usalama.