29 Apr 2026 1:17 pm | Citizen TV 132 views Huku mvua ikiendelea kushuhudiwa katika ukanda wa Pwani Manispaa ya Malindi Kaunti ya Kilifi imetishia kuwachukulia hatua Watu ambao wanatupa taka ovyo katika mabomba ya Maji na kuharibu miundo misingi mjini humo.