- 239 viewsDRC ikiwa ina mipango ya kuuza maeneo zaidi ya uchimbaji mafuta mwaka huu, wanaharakati wa kutetea mazingira na wananchi tayari wanalalamika kutokana na uchafuzi katika maeneo ambayo tayari uchimbaji unafanyika. Katika ziara nadra iliyofanywa na waandishi habari wa kimataifa kwenye viwanja vya uchimbaji mafuta walizungumza na raia wanaosema hewa na ardhi yao imechafuliwa na kudhuru mime na afya zao. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Uchimbaji mafuta DRC walalamikiwa kuathiri mazingira na afya za watu
- - Duniani Leo ››
- 3 May 2024 - Angry locals on Thursday evening killed a middle-aged woman and torched several houses in a retaliatory attack caused by a land tussle in West Kanyamkago, Uriri Sub-county, Migori County.
- » Vice KDF chief for 55 days, first woman service commander: How Ruto made twin history with appointments3 May 2024 - Gen Kahariri takes over as Chief of Defence Forces following the death of Gen Francis Ogolla.
- 3 May 2024 - Nigeria's military has ordered two officers to face court martial proceedings over a drone strike that killed at least 85 civilians, the defence HQ said on Thursday, more than four months after President Bola Tinubu ordered an investigation.
- 3 May 2024 - The boat was carrying 23 passengers against the recommended capacity of eight.
- 3 May 2024 - Forty-nine people are missing and are yet to be accounted for.
- 3 May 2024 - Rebuilding Gaza's shattered homes will take at least until 2040 but could drag on for many decades, according to a U.N. report released on Thursday.
- 3 May 2024 - Some road users complained of spending over five hours along the Mombasa-Road route due to the ongoing floods.
- 3 May 2024 - Man convicted while mentally ill released after 34 years in prison
- 3 May 2024 - City estates to experience dry taps as floods destroy water pipes
- 3 May 2024 - The Senate's figures for what is owed to the devolved units contradict the National Assembly's.