Skip to main content
Skip to main content

Uchunguzi waonyesha kulikua na mpango kabambe wa kumshambulia Seneta Osotsi

  • | Citizen TV
    21,298 views
    Duration: 4:20
    Maafisa wa upelelezi wanaochunguza kushambuliwa na kupigwa kwa Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi wanasema uchunguzi unaashiria wahusika walikuwa na mpango kabambe kuhusu jinsi ya kumvamia. Wapelelezi wanachunguza simu za washukiwa watatu waliofikishwa mahakamani leo. Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen ameagiza uchunguzi wa haraka akilaani matumizi ya wahuni kuwakabili mahasimu wa kisiasa.