Skip to main content
Skip to main content

Uhaba wa mafuta wasababisha milolongo Nyeri na Kisii

  • | Citizen TV
    481 views
    Duration: 3:01
    Uhaba wa mafuta umeendelea kushuhudiwa maeneo mengi nchini huku wateja wakilazimika kuweka foleni ndefu kwenye vituo vichache vilivyokuwa na bidhaa hii katika maeneo kama Nyeri na Kisii. Vituo vingi vikifungwa kutokana na uhaba huo wa mafuta. Muungano wa wasafirishaji mizigo sasa ukionya kuwa hali hiyo inaathiri usafiri, huku Wakenya wakitaka serikali kuweka bayana ikiwa kweli kuna mafuta ya kutosha.