Skip to main content
Skip to main content

Ujenzi wa kituo cha forodha mpakani wakamilika huko Suam, Trans Nzoia

  • | Citizen TV
    363 views
    Duration: 1:15
    Serikali imekamilisha ujenzi wa kituo cha pamoja cha kuvukia mpaka kinachounganisha Kenya na Uganda katika eneo la Suam, Kaunti ya Trans Nzoia.