Skip to main content
Skip to main content

Ujenzi wa nyumba za bei nafuu umefikia 50% Kisauni Mombasa

  • | Citizen TV
    705 views
    Duration: 1:22
    Ujenzi wa nyumba 816 za kisasa eneo la kisauni kaunti ya mombasa umefikia asilimia 50. Nyumba hizo zinazojengwa mtaani kwa sonko mtopanga zinatazamiwa kukamilika baada ya mwaka mmoja.