- 103 views
Halmashauri ya ukusanyaji ushuru nchini imetetea pendekezo lake katika mswada wa fedha wa kuipa uwezo wa kuingia katika data za kibinafsi za wakenya katika jitihada za kuwanasa watu wanaokwepa kulipa ushuru.Katika kutetea pendekezo hilo mbele ya Kamati ya fedha ya bunge la Kitaifa, Kamishna Mkuu wa halmashauri hiyo Humphrey Wattanga aliwaambia wabunge kuwa wameweka mikakati inayofaa kuhakikisha usalama wa data kulingana na sheria za usalama wa data.Hata hivyo, kauli yake ilipingwa na wabunge kufuatia ufichuzi kuwa mfumo huo ulivurugwa na kufanya data za wakenya kupatikana kwa urahisi.Mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim ana maelezo zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ukusanyaji Ushuru I KRA yataka iidhinishwe kupata deta za kibinafsi
- 25 May 2025 - Harvard University's links to China, long an asset to the school, have become a liability as the Trump administration levels accusations that its campus is plagued by Beijing-backed influence operations.
- 25 May 2025 - Indonesia plans to announce economic stimulus measures on June 5 to revive activity and boost consumer purchasing power, hoping to push economic growth to around 5% this quarter, the Coordinating Ministry of Economic Affairs said on Saturday.
- 25 May 2025 - Elon Musk's social media platform X was largely restored for most users after an outage that impacted tens of thousands of users in the United States on Saturday, according to outage tracking website Downdetector.com, following which he said that he is…
- 25 May 2025 - Kenya Revenue Authority Commissioner General Humphrey Wattanga was put on the spot to explain why the agency is backing a controversial clause in the Finance Bill 2025.
- 25 May 2025 - Michael Joseph's chequered KQ legacy as he heads for exit
- 25 May 2025 - Senate Speaker Kingi on the spot for being "Ruto's fixer"
- 25 May 2025 - Justice for the few: Is the system failing ordinary Kenyans?
- 25 May 2025 - Kindiki turns to musicians in a battle for Mt Kenya region soul
- 25 May 2025 - Mukuru affordable houses ready, but no tenants five days later
- 25 May 2025 - When you thought democracy was growing in EA, dictators sprouted