- 14,241 viewsDuration: 1:38Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar amesisitiza kwamba kura ya mapema ni takwa la kisheria hivyo Tume haina budi kuitekeleza hata kama mchakato huo umekuwa ukilalamikiwa na vyama vya upinzani. Mwandishi wa BBC @sammyawami alizungumza na mkurugenzi huyo Thabit Idarous Faina - - 🎥 @eagansalla_gifted_sounds #bbcswahili #siasa #zanzibar #siasa #uchaguzimkuu2025