- 1,115 views
Viongozi wa upinzani wametoa wito wa uchunguzi kuhusiana na maandamano ya Saba Saba yaliyosababisha vifo vya zaidi ya watu-10 huku wengine kadhaa wakijeruhiwa. Wakiongozwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua na kinara wa chama cha People’s Liberation Martha Karua, viongozi hao wanamtaka inspekta jenerali wa polisi pamoja na mkurugenzi wa idara ya upelelezi wa jinai kufafanua madai ya utumiaji nguvu kupita kiasi na maafisa wa polisi waliokuwa kwenye magari yasiyokuwa na nambari za usajili na ambao walifunika nyuso zao kinyume na agizo la mahakama linalowataka kuvalia sare rasmi wanapotekeleza wajibu wao wakati wa maandamano.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Upinzani wataka uchunguzi kuhusu mauaji siku ya Sabasaba
- 16 Jul 2025 - Police from Kilifi Police have nabbed a suspected drug trafficker following a tip from members of the public from Kibaoni area in Kilifi Sub-County. Acting on the tip, they launched a swift operation and laid out an ambush and successfully managed to…
- 16 Jul 2025 - The deported men are nationals of Vietnam, Laos, Yemen, Cuba and Jamaica.
- 16 Jul 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has invited prequalification bids from Chinese contractors for the expansion of the Pangani–Muthaiga–Kiambu–Ndumberi Road, following a financing deal from China’s Export-Import (EXIM) Bank.
- 16 Jul 2025 - The labor minister in economically depressed Cuba resigned Tuesday amid an uproar over her claim that people rummaging through garbage cans were only pretending to be poor and not truly desperate.
- 16 Jul 2025 - Nigeria's former President Muhammad Buhari was buried on Tuesday in the backyard of his home in northern Katsina state, as residents climbed trees to bid farewell to the 82-year-old.
- 16 Jul 2025 - Parliament notably impeached Ruto's deputy Rigathi Gachagua.
- 16 Jul 2025 - Malala was ousted from UDA in 2024.
- 16 Jul 2025 - It is the only reserve in the world to be awarded the record.
- 16 Jul 2025 - The staff have been given one month's notice.
- 16 Jul 2025 - Israeli strikes on the Bekaa Valley in eastern Lebanon killed 12 people on Tuesday, Lebanese state media reported, as the Israeli army said it hit Hezbollah targets in the area.