- 909 viewsWabunge wa upinzani sasa wamemtetea Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kutokana na madai ya chama cha UDA kuwa alisambaratisha uchumi wa taifa alipokuwa uongozini. Wabunge hao wamemnyoshea kidole cha lawama Rais William Ruto wakisema anakosoa serikali ya awali ilhali alikuwa naibu rais wakati huo.