Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa 7 katika shule ya Utumishi kufikishwa mahakamani hii leo

  • | Citizen TV
    23,662 views
    Duration: 2:01
    Washukiwa saba wa mkasa wa moto shuleni Utumishi wafikishwa katika mahakama ya Naivasha. Washukiwa hao wote ambao ni wanafunzi wa shule hiyo wanatuhumiwa kwa kuanzisha moto katika bweni lililoteketea na kusababisha vifo vya wanafunzi 16 huku wengine zaidi ya 70 wakijeruhiwa.