Skip to main content
Skip to main content

Urithi wa Jaji Majanja: Mahakama yadinda kumpa kaka Sh22 milioni za bima

  • | Citizen TV
    1,556 views
    Duration: 2:32
    Mahakama kuu jijini Nairobi imedinda kupokeza urithi wa marehemu Jaji David Majanja kwa kakake mdogo ikisema hela hizo zitagawanywa kulingana na sheria za urithi. Martin aluvisia Majanja alienda mahakamani kudai urithi huo wa shilingi milioni 22.