- 565 viewsDuration: 2:34Baadhi ya jamaa za marehemu Jaji wa Mahakama Kuu David Majanja wamewasilisha rufaa kupinga uamuzi wa mahakama kuhusu mali ya marehemu. Mama wa kambo wa marehemu akipigania kurejeshwa kwenye orodha ya warithi, na nduguye marehemu Majanja akitaka fedha ambazo anasema aliwachiwa na nduguye ila hadi sasa hajapokea.