Skip to main content
Skip to main content

Watu 9 wanazuiliwa baada ya kifo cha mwanaume kwenye klabu moja jijini Nairobi

  • | Citizen TV
    10,214 views
    Duration: 2:45
    Maafisa wa polisi jijini Nairobi wanawazuiliwa watu 9 akiwemo meneja wa klabu moja jijini Nairobi, kufuatia mauaji ya mfanyabiashara mmoja. Brian Muendo alipigwa na kuuawa nje ya klabu ya soma eneo la Odeon huku mshukiwa mwingine pia akiuguza majeraha kwenye tukio tofauti.