- 98 views
Utafiti wa punde wa kampuni ya Infotrak unaashirikia kuwa asilimia 53 ya Wakenya wanahisi kuwa taifa la Kenya haliendeshwi kwa njia ya kuridhisha. Aidha, Utafiti huu uliotolewa hii leo umeratibu gharama ya juu maisha na ukosefu wa ajira kama masuala ambayo Wakenya wanalalamikia kuyahusu, mwaka mmoja baada ya serikali ya Kenya Kwanza kuingia mamlakani. Utafiti huu pia ukionyesha kuwa asilimia 55 wana imani na uongozi wa Rais William Ruto huku 47 wakiwa na imani na majukumu ambayo yamekua yakitekelezwa na naibu rais Rigathi Gachagua. Kuhusu utendakazi wa mawaziri, waziri Kindiki Kithure ametajwa kuwa bora
Utafiti wa Infotrak unaashirikia kuwa asilimia 53 ya Wakenya wanahisi Kenya haiendeshwi sawa
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction