Skip to main content
Skip to main content

Utata kuhusu umiliki wa ardi ya ekari 200 Kiambu wafika mahakamani

  • | Citizen TV
    1,364 views
    Duration: 3:30
    Utata wa umiliki wa ardhi ya zaidi ya ekari 200 katika kaunti ya Kiambu inayodaiwa kuwahusisha watu mashuhuri serikalini, sasa umeelekea mahakamani. Hii ni baada ya wakurugenzi wa kampuni ya Ndunde Investments kuwasilisha kesi wakitaka waliovamia ardhi kuzuiwa kuingia eneo hilo na kutouza au kubatilisha vyeti vya umiliki. Wakurugenzi hao wanasema wamekuwa wamiliki wa ardhi hiyo kwa miaka 26 na kwamba wale wanaotaka kuichukua wanatumia stakabadhi ghushi.