Skip to main content
Skip to main content

Uteuzi wa machifu wazua mzozo Cherangany

  • | Citizen TV
    41 views
    Baadhi ya wakazi na viongozi wa Cherangany, Kaunti ya Trans Nzoia, wamelalamikia hali ya upendeleo katika uteuzi wa maafisa tisa wa utawala, wakiwemo machifu na manaibu wao, wakidai kuwa nafasi hizo zimetawaliwa na jamii moja katika eneo hilo.