Skip to main content
Skip to main content

Vijana kupewa fursa ya kufanya kazi katika mradi wa nyumba za bei nafuu Turkana

  • | Citizen TV
    153 views
    Duration: 2:13
    Serikali imeanzisha mpango wa kutoa mafunzo kwa vijana waliohitimu na kutuma maombi ya kufanya kazi katika ujenzi wa nyumba za bei nafuu katika kaunti ya Turkana.