- 1,505 views
Kizazaa kimeshuhudiwa nje na ndani ya majengo ya bunge la kaunti ya mombasa baada ya vijana wa kizazi cha GEN Z na wanaharakati wa kutetea haki kuvamia majengo hayo wakilalamikia mapendelezo ya bajeti mwaka 2025/2026. Vijana hao waliojawa na ghadhabu wanadai wakaazi wa mombasa hawajahusishwa katika mchakato huo na kutaka uwazi. Hali hii wanasema imechangia kwa changamoto zinazokumba kaunti ya mombasa. Vijana hao wanawalaumu wawakilishi wadi kwa kukosa kuwajibika na kuwahusisha katika mchakato wa bajeti. Karani wa Bunge la kaunti ya mombasa Salim Juma aliyepokea matakwa hayo na kuahidi kutoa mwelekeo jumanne wiki ijayo. Vijana hao wametishia kurudi tena iwapo matakwa hayi hayatasikizwa.
Vijana na wanaharakati wavamia bunge la Mombasa
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign