Skip to main content
Skip to main content

Vijana wa Budalangi Busia wanaitaka serikali kushirikiana nao katika juhudi zao za kukabili mafuriko

  • | Citizen TV
    305 views
    Duration: 1:34
    Vijana katika kijiji cha Mahoma eneo bunge la Budalang’i kaunti ya Busia wanaitaka serikali na washikadau wengine wa mazingira kushirikiana nao katika juhudi zao za kukabili mafuriko ambayo yamekuwa donda sugu katika eneo hilo kutokana na mto nzoia kufurika na kuvunja kingo zake