Skip to main content
Skip to main content

Vijana wa vyuo vikuu Taita Taveta wahimizwa kujisajili kama wapigakura

  • | Citizen TV
    169 views
    Duration: 1:55
    Muungano wa wanafunzi wa vyuo vikuu kaunti ya Taita Taveta umesema kwamba unaendelea na zoezi la kujiandikisha kuwa wapiga kura tayari kwa uchaguzi mkuu ujao wa 2027. Wakiongozwa na rais wa wanafunzi kaunti hiyo Liz Wakesho wanafunzi hao wanasema zoezi la usajili wa wapigakura linaloendelea linatoa nafasi mwafaka kwa wanafunzi kushiriki uchaguzi huo mkuu. Haya yanajiri huku wito ukitolewa kwa wanafunzi hao kujiunga na vyama vya kisiasa ili kushinikiza mageuzi yao ndani vya vyama hivyo.