Skip to main content
Skip to main content

Vijana waambiwa wakitaka mabadiliko wajisaliji kwa wingi kupiga kura

  • | Citizen TV
    481 views
    Duration: 1:02
    Gavana wa Tharaka Nithi Muthomi Njuki sasa anawataka vijana kutopiga domo sana mitandaoni na kujitokeza kupiga kura.Kwa mujibu wa gavana Njuki, usajili wa kura kwa wakenya kutawapa nafasi murwa ya kujichagulia viongozi wawatakao