Skip to main content
Skip to main content

Vijana wahimizwa kuongeza ubunifu wakisaka ajira nchini

  • | Citizen TV
    149 views
    Duration: 2:09
    Katibu katika wizara ya vijana Fikirini Jacobs amesema kuwa serikali iko mbioni kulinda uvumbuzi wa vijana ili kuwasaidia kuongeza juhudi za ubunifu katika kuwapa ajira.