- 318 views
Viongozi kutoka kaskazini mwa nchi wameilaumu serikali kwa kile wanachodai kuachwa nje katika miradi ya maendeleo.Viongozi hao kutoka kaunti za Mandera, Wajir Na Garissa wanadai kuwa eneo hilo limetelekezwa kwa muda mrefu na sasa wanataka miradi ya kitaifa kufikishwa katika kaunti za kaskazini mwa Kenya ili kuimarisha biashara na maendeleo. Aidha wametaka jamii wa wafugaji Na maeneo kame nchini kuongzewa mgao wa pesa hasa katika miradi inayolenga kutatua uhaba wa maji Na utoshelevu wa chakula.
Viongozi kutoka Kaskazini Mashariki wasema eneo hilo limetengwa kimaendeleo
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script