Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa dini Lamu waibua wasiwasi kuhusu usalama nchini

  • | KBC Video
    84 views
    Duration: 1:43
    USALAMA WA TAIFA Viongozi wa dini ya kikiristo kutoka Mpeketoni, Kaunti ya Lamu, wameibua wasiwasi kufuatia hali ya ukosefu wa usalama inayoendelea nchini, wakionya kuwa ongezeko la joto la kisiasa litavuruga amani huku uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 ukikaribia. #KurunziMashinani Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive