Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Embu waonya kuhusu magenge yanayotumiwa kisiasa

  • | Citizen TV
    348 views
    Duration: 2:54
    Baadhi ya viongozi wa Kaunti ya Embu wameeleza wasiwasi wao kuhusu ongezeko la visa vya magenge yanayotumiwa kisiasa, wakionya kuwa vitendo vya vurugu na vitisho vinaweza kuhatarisha mchakato wa kidemokrasia nchini. Wakizungumza huko Karurumo, viongozi hao walizitaka idara za usalama kuchukua hatua kali dhidi ya wanaofadhili wahunui hao.