- 446 viewsDuration: 2:16Viongozi wa Kanisa Katoliki kaunti ya Kajiado pamoja na wadau wa elimu nchini sasa wamezitaka taasisi za elimu kuwalea wanafunzi kwa misingi ya kidini. Wakisema msingi huo utasaidia kurejesha nidhamu na maadili ambayo yamekuwa yakiporomoka shuleni.