Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa kanisa NCCK wakemea hulka ya uhuni nchini

  • | Citizen TV
    283 views
    Duration: 2:11
    Makanisa yaliyo chini ya mwavuli wa baraza la Kitaifa la Makanisa nchini (NCCK) yavitaka viongozi wa dini kote nchini kuhakikisha makanisa hayatumiki kama majukwaa ya kuendeleza siasa za chuki, vurugu na ghasia.