Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa kidini waomba mazungumzo na mageuzi

  • | KBC Video
    197 views
    Duration: 1:31
    Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano NCIC, na baadhi ya viongozi wa kidini kutoka eneo la North Rift, sasa wanatoa wito wa kuanzishwa kwa mazungumzo, kufanyiwa marekebisho kwa masuala ya usalama, na kukomeshwa kwa uchochezi wa kisiasa ili kumaliza migogoro ya muda mrefu inayolikumba eneo hilo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive