- 459 viewsDuration: 1:27Viongozi wa kisiasa wametakiwa kubadilisha mwelekeo wao kwa vijana, kuacha kuwageuza kuwa zana za kisiasa au magenge ya vurugu. Badala yake, wanapaswa kuwekeza katika vipaji vya vijana, kuvikuza na kuwapa jukwaa la kujiinua kiuchumi kupitia uwezo wao halisi.