Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Mlima Kenya wasisitiza nafasi ya Naibu Rais ibaki kwa eneo hilo mwaka 2027

  • | Citizen TV
    1,636 views
    Duration: 2:30
    Mjadala kuhusu wadhifa wa naibu Rais katika uchaguzi mkuu ujao unaendelea kuibuka, huku baadhi ya viongozi wa Mlima Kenya wakisisitiza nafasi hiyo inapasa kusalia katika eneo hilo kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Viongozi hao walikuwa wakizungumza huko Nyeri katika kikao cha kuzungumza na wananchi ambacho pia kilihudhuriwa na maafisa wa serikali waliopigia debe serikali.