Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa upinzani wasisitiza wafanyabiashara wa Gikomba wasihame

  • | Citizen TV
    4,643 views
    Duration: 2:54
    Viongozi wa upinzani wakiongozwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua wamewataka wafanyabiashara wa soko la Gikomba kukataa kuhama kutoka soko hilo. Viongozi hawa wakipinga hatua ya kufurusha kwa wafanyabiashara, wakidai njama fiche ya watu fulani kunyakua ardhi hiyo.