17 Jul 2026 10:33 am | Citizen TV 376 views Duration: 1:04 Serikali yapongezwa kwa juhudi zake za kuimarisha miundombinu katika eneo la Kaskazini Mashariki, hasa kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya barabara ilengayo kufungua fursa za maendeleo na kukuza uchumi wa eneo hilo.